Bwana Dewji ni mwendelezaji wa biashara ya familia yao inayojulikana kwa kama(mohammed enterprises (T) Limited) ambayo ni moja kati ya makampuni makubwa kabisa hapa nchini . Viwanda vya kampuni hii vimeajiri watu takriban 2500 kote nchini na kulingana na mwenyewe Dewji anasema kuwa kampuni hii inaingiza mapato ya dola za kimarekani bil.1.2 kwa mwaka. Vilevile Bw.Dewji amekuwa mbunge wa bunge tukufu la tanzania toka mwaka 2005.
January Makamba pia ni mmoja kati ya watanzania waliotajwa katika jarida la Forbse africa.
Vilevile January ni mmoja kati ya watu waliotjwa kuwa ni moja ya viongozi wadogo wa mwaka 2012 (Young globa Leaders). Kwa sasa januari ni waziri wa mawasiliano , sayansi na teknolojia. January Makamba ni mtoto wa mwanasiasa mashuhuri hapa nchini, Mzee Yusuf
Makamba.
January Makamba pia ni mmoja kati ya watanzania waliotajwa katika jarida la Forbse africa.
Vilevile January ni mmoja kati ya watu waliotjwa kuwa ni moja ya viongozi wadogo wa mwaka 2012 (Young globa Leaders). Kwa sasa januari ni waziri wa mawasiliano , sayansi na teknolojia. January Makamba ni mtoto wa mwanasiasa mashuhuri hapa nchini, Mzee Yusuf
Makamba.
| Mr.January Makamba Waziri wa mawasiliano, sayansi na teknolojia |


No comments:
Post a Comment